Hali ya Maisha kwa Wananchi ya watanzania bado inazidi kua ngumu kutokana na bizaa muhimu kama vyakula kupanda bei huku serikali ikifumbia macho suala hili na kuacha wananchi wenye vipato vidogo kukosa kupata mlo kamili na kusababisha wananchi kukosa afya na kuandamwa na magonjwa ambayo husababisha vifo visivyo tarajiwa na kupoteza nguvu ya Taifa.
WAJIBU WA SERIKALI
Kudumisha ulinzi na umoja
Kuakikisha kila Raia anapata mahitaji muhimu kama malazi,elimu.
SERIKALI INAJALIA WATANZANIA
Kwahali iliyopo sijui kama Serikali inajali wananchi wake.
Update other current information
No comments:
Post a Comment